Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imetoa elimu juu ya umuhimu wa upimaji wa mionzi katika zao la kahawa kwa wafanyabiashara wa zao hilo kwenye soko la mnada uliofanyika wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro jana tarehe 21/11/2019. Mnada huo umewashirikisha...
Month: November 2019
Sababu za upimaji wa Mionzi kwenye bidhaa
Serikali imewataka wafanyabiashara wa zao la Tumbuka nchini pamoja na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kukutana kwa pamoja kwa lengo la kuboresha biashara ya bidhaa ya tumbaku na kueleza kuwa ugomvi kati ya TAEC na wafanyabiashara wa zao la Tumbaku sasa haupo...
Warsha juu ya Majadiliano ya Pamoja ya Sheria Moja ya Udhibiti Katika Uchimbaji wa Madini ya Urani
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU) inaendesha warsha ya kuboresha shughuli za kisheria na uhakiki ili kuboresha uwezo uliopo katika kudhibiti madini ya urani. Warsha hii ya siku...
Warsha Juu ya Kinga na Udhibiti wa Vyanzo vya Mionzi Afrika
Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) inaendesha warsha inayohusisha wataalamu wa kitaifa wa kinga na udhibiti wa mionzi kutoka katika nchi 23 kutoka katika Bara la Afrika ambao ni...