Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) na jeshi la Polisi wamesaini makubaliano ya kuongeza ushirikiano wa ulinzi na usalama wa vyanzo vya mionzi pamoja na mambo mengine mbalimbali ikiwemo kuweka ulinzi wakati wa usafirishaji wa vyanzo vya mionzi pamoja na...
TAEC na Jeshi la Polisi Wamesaini Makubaliano Yenye Lengo la Kuimarisha Masuala ya Ulinzi na Usalama wa Vyanzo vya Mionzi Nchini
soma zaidi