Jumla ya wataalam 80 wanaotoa huduma katika vyanzo vya mionzi kwa ajili ya uchunguzi na tiba kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini wanashiriki katika mafunzo ya Kitaifa ya Usalama wa Mionzi yanayoendeshwa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) jijini Arusha....

Wataalam 80 Wanaotoa Huduma Katika Vyanzo vya Mionzi Nchini Wapata Mafunzo ya Usalama wa Mionzi Katika Maeneo ya Kazi
soma zaidi