Wafanyakazi wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) wameshiriki semina ya siku moja ya utawala bora na mbinu za kupambana na rushwa mahala pa kazi, Jumanne, 16 Februari 2021. Semina hiyo imeendeshwa na Tasasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) ofisi ya...
Wafanyakazi wa TAEC Wanolewa Vita Dhidi ya Rushwa Sehemu za Kazi
soma zaidi