Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jana Machi 15, 2022 ilifanya ziara Makao Makuu ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) ili kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa Maabara changamana awamu ya pili. Katika ziara hiyo Kamati ya bunge...

soma zaidi