Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) na Jeshi la Polisi leo Juni 10, 2022 wamesaini muendelezo wa mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa ulinzi na usalama wa vyanzo vya mionzi hapa nchini. Makubaliano hayo yanalenga kuhakikisha kuwa Jeshi la Polisi linatoa...
