Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga (Mb) ameipongeza Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kwa Maendeleo Mazuri ya mradi wa Ujenzi wa Ofisi na Maabara ya kanda inayoendelea kujengwa Jijini Mwanza. Mhe. Naibu Waziri ameyasema hayo...
Adam Nakembetwa
Mtanzania ashinda Tuzo ya Utafiti wa Kilimo cha Mpunga kwa Kutumia Teknolojia ya Nyuklia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo, amepokea Tuzo ya “Plant Mutation Breeding” iliyotolewa kwa mtafiti wa Tanzania, Bwana Salum Faki Hamad, wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar (ZARI). Bwana Salum amepewa tuzo hiyo kama...
Mafunzo ya Kitaifa ya Usalama wa Mionzi kwa Wataalam Wanaotumia Vyanzo vya Mionzi kwenye Ukaguzi wa Mizigo na Tiba, 20-24 Septemba 2021, Arusha
Wataalam wanaotumia vyanzo vya mionzi kwa ajili ya ukaguzi wa mizigo bandalini, utafiti na matibabu ya magojwa mbalimbali wanashiriki katika mafunzo ya Kitaifa ya Usalama wa Mionzi yanayoendeshwa na Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) jijini Arusha. Mafunzo haya...
Maabara Changamana Awamu ya Pili mbioni kumalizika
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania iko mbioni kukamilisha ujenzi wa maabara changamano awamu ya pili. Ujenzi huu wa maabara ya gorofa nne ulianza mwezi Septemba 2019 na kwa sasa maendeleo ya ujenzi ni mazuri ambapo mpaka sasa hatua ya ujenzi umekamilika kwa asilimia 87....
Kikao na Wadau Kupitia na Kupata Mapendekezo Juu ya Maboresho ya Sheria ya Nguvu za Atomu Tanzania na Kanuni Zake
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanya kikao na wadau ili kupitia na kupata mapendekezo juu ya maboresho ya Sheria ya Nguvu za Atomu Namba 7 ya Mwaka 2003 (Atomic Energy Act No. 7, 2003) pamoja na kanuni zake, kikao hiki kimefanyika tarehe 30 April 2021 Kikao...
Wafanyakazi wa TAEC Wanolewa Vita Dhidi ya Rushwa Sehemu za Kazi
Wafanyakazi wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) wameshiriki semina ya siku moja ya utawala bora na mbinu za kupambana na rushwa mahala pa kazi, Jumanne, 16 Februari 2021. Semina hiyo imeendeshwa na Tasasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) ofisi ya...
Kozi ya Kitaifa kwa Wafanyakazi Wanaotumia Mionzi Kukagua Mizigo Katika Maeneo Mbalimbali
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inaendesha mafunzo ya kitaifa kwa wafanyakazi wanaofanya kazi ya kukagua mizigo na bidhaa mbali mbali za wageni wa ndani na nje katika kuzingatia usalama wa mionzi kwenye maeneo yao ya kazi ili kujilinda na kuwalinda...
Baadhi ya mafanikio ya Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia ndani ya nchi
Kwa miaka ya hivi karibuni, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Nguvu za atomiki Dunia (IAEA) imeweza kutekeleza miradi mbalimbali ya sayansi na tekinolojia ya nyuklia na kuleta mafanikio mbalimbali ndani ya nchi ikiwemo, afya,...
Maabara ya Kitaifa ya Uhakiki wa Vifaa vya Mionzi
TAEC maintains a dedicated National Calibration facility for calibrating all types of portable radiation monitoring instruments across a wide range of radiation types and levels. Instrument calibrations are performed using reference ionization Chamber and radiation...
Ushiriki wa TAEC Katika Maonesho ya 44 Ya Kimataifa ya Biashara
Kwa mara nyingine Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania imeshiriki kikamilifu maonesho ya 44 ya kimataifa ya biashara na kutoa elimu juu ya majukumu ya udhibiti wa mionzi na uhamasishaji wa matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia nchini. Maonyesho haya ya siku kumi na...