Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo, amepokea Tuzo ya “Plant Mutation Breeding” iliyotolewa kwa mtafiti wa Tanzania, Bwana Salum Faki Hamad, wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar (ZARI). Bwana Salum amepewa tuzo hiyo kama...
