Blog

TAEC yashiriki maonesho ya Nane Nane mwaka 2020

TAEC yashiriki maonesho ya Nane Nane mwaka 2020

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inashiriki kwenye maonesho ya Wakulima maarufu kama NANE NANE yanayofanyika kitaifa  mkoa wa Simiyu  katika viwanja vya Nyakabindi  na katika mkoa wa Arusha kweye viwanja vya Taso. Ufunguzi wa maonesho hayo...

soma zaidi

Maabara ya Kitaifa ya Uhakiki wa Vifaa vya Mionzi

TAEC maintains a dedicated National Calibration facility for calibrating all types of portable radiation monitoring instruments across a wide range of radiation types and levels. Instrument calibrations are performed using reference ionization Chamber and radiation...

soma zaidi

Sera na Miongozo Kuhusu TEHAMA

1. SERA YA TEHAMA Madhumuni ya sera hii ni kuhakikisha kuwa matumizi ya TEHAMA yanachangia katika utendaji bora na kuongeza tija, kukuza utafiti, usalama wa matumizi ya teknolojia ya nyuklia kwa ajili ya maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Teknolojia ya Habari...

soma zaidi
TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao

TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao

Wadau na wafanyabiashara nchini wamesisitizwa kupata vibali vya vipimo vya mionzi vinavyotolewa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa njia ya mfumo wa kieletroni kila mara wanapoingiza na kusafirisha bidhaa ndani na nje ya nchi. Wito huo umetolewa na Mkuu wa...

soma zaidi

Hifadhi za nyaraka