TAEC maintains a dedicated National Calibration facility for calibrating all types of portable radiation monitoring instruments across a wide range of radiation types and levels. Instrument calibrations are performed using reference ionization Chamber and radiation...
Blog

Ushiriki wa TAEC Katika Maonesho ya 44 Ya Kimataifa ya Biashara
Kwa mara nyingine Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania imeshiriki kikamilifu maonesho ya 44 ya kimataifa ya biashara na kutoa elimu juu ya majukumu ya udhibiti wa mionzi na uhamasishaji wa matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia nchini. Maonyesho haya ya siku kumi na...

Wafanyabiashara Wadogo wa Bagamoyo Wapewa Mafunzo ya Utambuzi wa Vifaa vya Mionzi
WAFANYABIASHARA wadogo wa bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani, wamepata elimu ya utambuzi wa bidhaa na vifaa vyenye mionzi ikiwa ni hatua za kuwaelimisha ili watambue madhara ya mionzi na wajue jinsi ya kujikinga. Hayo yamesemwa na...
VITUO VILIVYOFUNGIWA KUTOA HUDUMA KUANZIA 31 MEI 2020
Majina ya vituo ambavyo vimefungiwa kutoa huduma kuanzia 31 Mei 2020
VITUO VINAVYORUHUSIWA KUTOA HUDUMA- 31 MAY 2020
Majina ya vituo ambavyo vimepatiwa leseni ya kufanya kazi, 31 Mai 2020
Mwongozo wa Taarifa kwenye Tovuti
Sera na Miongozo Kuhusu TEHAMA
1. SERA YA TEHAMA Madhumuni ya sera hii ni kuhakikisha kuwa matumizi ya TEHAMA yanachangia katika utendaji bora na kuongeza tija, kukuza utafiti, usalama wa matumizi ya teknolojia ya nyuklia kwa ajili ya maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Teknolojia ya Habari...
Kuunganisha Mfumo wa Kielektroniki wa Dirisha moja na Mfumo wa Kutoa Vibali vya Mionzi
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeendelea na mikakati yake ya kuhakikisha inaweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wote wa ndani na nje ili waweze kufanya biashara bila usumbufu na kulipa kodi stahiki kwa hiari kwa mujibu wa sheria.Moja ya...

TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao
Wadau na wafanyabiashara nchini wamesisitizwa kupata vibali vya vipimo vya mionzi vinavyotolewa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa njia ya mfumo wa kieletroni kila mara wanapoingiza na kusafirisha bidhaa ndani na nje ya nchi. Wito huo umetolewa na Mkuu wa...

Kozi ya Upimaji wa Vyanzo vya Mionzi Kwenye Maabara za Tume
Jumla ya wataalamu nane (8) kutoka mataifa saba (7) ya nchi za ukanda wa Afrika wamehitimu mafunzo juu ya matumizi sahihi ya maabara zinazotumia teknolojia ya nyuklia katika udhibiti na uhamasishaji wa matumzi salama wa teknolojia ya nyuklia. Mafunzo haya...