HABARI NA MATUKIO

Maabara Changamana Awamu ya Pili mbioni kumalizika

Maabara Changamana Awamu ya Pili mbioni kumalizika

Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania iko mbioni kukamilisha ujenzi wa maabara changamano awamu ya pili. Ujenzi huu wa maabara ya gorofa nne ulianza mwezi Septemba 2019 na kwa sasa maendeleo ya ujenzi ni mazuri ambapo mpaka sasa hatua ya ujenzi umekamilika kwa asilimia 87....

soma zaidi
TAEC yashiriki maonesho ya Nane Nane mwaka 2020

TAEC yashiriki maonesho ya Nane Nane mwaka 2020

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inashiriki kwenye maonesho ya Wakulima maarufu kama NANE NANE yanayofanyika kitaifa  mkoa wa Simiyu  katika viwanja vya Nyakabindi  na katika mkoa wa Arusha kweye viwanja vya Taso. Ufunguzi wa maonesho hayo...

soma zaidi

Maabara ya Kitaifa ya Uhakiki wa Vifaa vya Mionzi

TAEC maintains a dedicated National Calibration facility for calibrating all types of portable radiation monitoring instruments across a wide range of radiation types and levels. Instrument calibrations are performed using reference ionization Chamber and radiation...

soma zaidi

Hifadhi za nyaraka