Mkurugenzi Mkuu Mpya wa TAEC Ameripoti Rasmi Kazini

Jun 20, 2024

Mkurugenzi Mkuu  wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania Prof. NAJAT KASSIM MOHAMMED ameripoti rasmi ofisi za Makao Makuu ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Jijini Dodoma leo

Prof. Najat amepokelewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Teknolojia ya Nyuklia na  huduma za ufundi Dkt. Remigius Kawala, Mkurugenzi wa Huduma za Tume Bwn. Edgar Mbaganile, Menejimenti na wafanyakazi wa Tume

Hifadhi za nyaraka