
“LIQUID NITROGEN” (LN2) INAPATIKANA TAEC-MAKAO MAKUU, ARUSHA
YANAYOJIRI NDANI YA TUME

Kamati ya Bunge yaipongeza TAEC Kwa Hatua iliyofikia katika utekelezaji wa Ujenzi wa Maabara Changamana Awamu ya Pili
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jana Machi 15, 2022 ilifanya ziara Makao Makuu ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) ili kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa Maabara changamana awamu ya pili. Katika ziara hiyo Kamati ya bunge...
Call for Submission of Project Concept Notes (CPNs)
Tanzania Atomic Energy Commission (TAEC) presents its compliments to the general public and has the honor to announce the start of preparations for the 2024–2025 technical cooperation (TC) projects. The (TC) projects are prepared through submission of Country Program...
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu shehena inayosemekana kuwa na viasili vya mionzi (Radioactive Materials) iliyokusudiwa kuingizwa nchini kupitia bandari ya Mombasa

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga aweka Jiwe lamsingi, Ujenzi wa Maabara na Ofisi ya Kanda ya TAEC, Mwanza
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga (Mb) ameipongeza Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa Maendeleo Mazuri ya mradi wa Ujenzi wa Ofisi na Maabara ya kanda inayoendelea kujengwa Jijini Mwanza. Mhe. Naibu Waziri ameyasema hayo...

Mtanzania ashinda Tuzo ya Utafiti wa Kilimo cha Mpunga kwa Kutumia Teknolojia ya Nyuklia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo, amepokea Tuzo ya “Plant Mutation Breeding” iliyotolewa kwa mtafiti wa Tanzania, Bwana Salum Faki Hamad, wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar (ZARI). Bwana Salum amepewa tuzo hiyo kama...

Mafunzo ya Kitaifa ya Usalama wa Mionzi kwa Wataalam Wanaotumia Vyanzo vya Mionzi kwenye Ukaguzi wa Mizigo na Tiba, 20-24 Septemba 2021, Arusha
Wataalam wanaotumia vyanzo vya mionzi kwa ajili ya ukaguzi wa mizigo bandalini, utafiti na matibabu ya magojwa mbalimbali wanashiriki katika mafunzo ya Kitaifa ya Usalama wa Mionzi yanayoendeshwa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) jijini Arusha. Mafunzo...