Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania

"Mionzi kwa Matumizi Salama na Teknolojia ya Nyuklia kwa Maendeleo ya Taifa"
TAEC Yaendeleza Ushirikiano na India Katika Teknolojia ya Nyuklia
IAEA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA UDSM

Kuhusu Sisi

Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) ni taasisi ya serikali iliyoanzishwa mwaka 2003 kwa mujibu wa Sheria ya Nguvu za Atomu, Sura ya 188. Majukumu ya TAEC ni kudhibiti, kuendeleza na kuhakikisha matumizi salama na ya amani ya nishati ya atomu na teknolojia ya nyuklia nchini Tanzania.

TAEC inawajibika kudhibiti vyanzo vya mionzi, kusimamia usalama wa nyuklia na mionzi, kutoa huduma za kitaalamu, pamoja na kuendeleza tafiti na maendeleo katika sayansi na teknolojia ya nyuklia. Tume inalenga kulinda watu, mali, na mazingira dhidi ya madhara ya mionzi ionizishi na isiyoionishi, huku ikihamasisha matumizi chanya ya teknolojia ya nyuklia katika sekta za afya, kilimo, viwanda na elimu.

Kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya  afya na malengo ya maendeleo ya taifa, TAEC inaendelea kuhimiza ubunifu na kuhakikisha matumizi sahihi na salama ya sayansi ya nyuklia kwa maendeleo endelevu ya Tanzania.

Mkurugenzi Mkuu
Prof. Najat K. Mohammed
Mkurugenzi Mkuu

Nyaraka Muhimu

UFADHILI-WA-MAMA-SAMIA-Updated.pdf
Published : Jul 18, 2024
Pakua
UFADHILI-WA-MAMA-SAMIA-Updated.pdf
Published : Jul 18, 2024
Pakua
Measurement-of-Environmental-radiation-and-radioactivity-in-SZ.pdf
Published : May 14, 2024
Pakua
Angalia yote
ORODHA YA MASHINE ZA POS ZILIZOKUSANYWA OFISI YA TAEC KANDA YA MASHARIKI.docx
Published : Jan 22, 2025
Pakua
Angalia yote
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 2) ACT, 2023 .pdf
Published : Jun 05, 2025
Pakua
GN 840 -THE ATOMIC ENERGY (PROTECTION FROM IONIZING AND NON-IONIZING RADIATION) REGULATIONS, 2023.pdf
Published : Jun 05, 2025
Pakua
GN NO. 33 THE ATOMIC ENERGY (PROTECTION FROM IONIZING AND NON-IONIZING) REGULATION, 2025.pdf
Published : Jun 05, 2025
Pakua
Angalia yote

Recent News

21 May
Ushiriki wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Katika Mkutano wa Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia Barani Afrika (NEISA 2026), Kigali – Rwanda

Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia Barani Afrika (NEISA 2026) umefanyika Kigali, ...

Read More
Card image
21 May
IAEA Yamaliza Ziara yake nchini Tanzania: Uongozi wa Rais Samia Wapongezwa kwa Kuimarisha Afya na Sayansi ya Nyuklia

Wakala wa Kimataifa wa Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) limehitimisha ziara yake nchini Tanzania, hatua muhimu katika kui ...

Read More
Card image
21 May
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania yaendeleza Ushirikiano na India Katika Teknolojia ya Nyuklia

Tanzania imepiga hatua   muhimu katika safari yake ya kuimarisha matumizi salama na ya amani ya teknolojia ya nyuklia, k ...

Read More
Card image
15 May
IAEA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA UDSM

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kiufundi kwa Afrika kutoka Wakala wa Kimataifa wa Nguvu za Atomu Duniani (IA ...

Read More
Card image
New
Nafasi za kazi za kujitolea
May 21, 2026

Nafasi za kazi za kujitolea

NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA OFISI YA TUME YA NGUVU ZA ATOMU TANZANIA (BARA NA VISIWANI) Kwa waombaji wa Tanzania Bara bo ...

Read More
New
UFADHILI WA SAMIA (SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED) 2025/2026
October 17, 2025

UFADHILI WA SAMIA (SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED) 2025/2026

CLICK HERE TO VIEW

Read More
New
TRAINING CALENDAR FOR THE FINANCIAL YEAR 2025-2026
August 05, 2025

TRAINING CALENDAR FOR THE FINANCIAL YEAR 2025-2026

Please Click HERE to read the Training Calender Announcement. Download the Registration form HERE

Read More

Zonal Offices

  • Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (HQ)

slot gacor