Zaidi ya wananchi 1000 wamepata elimu ya majukumu ya kisheria Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) na namna ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia inavyotumika nchini kwenye maonesho ya kitaifa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya NaneNane yaliyofanyika...
Wananchi wamepatiwa elimu ya matumizi salama ya mionzi kwenye maonesho ya nanenane mwaka 2020
soma zaidi