Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo, amepokea Tuzo ya “Plant Mutation Breeding” iliyotolewa kwa mtafiti wa Tanzania, Bwana Salum Faki Hamad, wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar (ZARI). Bwana Salum amepewa tuzo hiyo kama...
Mtanzania ashinda Tuzo ya Utafiti wa Kilimo cha Mpunga kwa Kutumia Teknolojia ya Nyuklia
soma zaidi