HABARI NA MATUKIO

TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao

TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao

Wadau na wafanyabiashara nchini wamesisitizwa kupata vibali vya vipimo vya mionzi vinavyotolewa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa njia ya mfumo wa kieletroni kila mara wanapoingiza na kusafirisha bidhaa ndani na nje ya nchi. Wito huo umetolewa na Mkuu wa...

soma zaidi
Kozi ya Upimaji wa Vyanzo vya Mionzi Kwenye Maabara za Tume

Kozi ya Upimaji wa Vyanzo vya Mionzi Kwenye Maabara za Tume

Jumla ya wataalamu nane (8) kutoka mataifa saba (7) ya  nchi za ukanda wa Afrika wamehitimu mafunzo juu ya matumizi sahihi  ya maabara zinazotumia teknolojia ya nyuklia katika udhibiti na uhamasishaji wa matumzi salama wa teknolojia ya nyuklia. Mafunzo haya...

soma zaidi

Call for Submission of Project Concept Notes (CPNs)

Tanzania Atomic Energy Commission would like to announce a call for the submission of country program notes (CPN)/ Concept Notes for the Project cycle 2022-23. The CPNs should be developed based on the Country Programme Frameworks (CPFs) (attached), and should take...

soma zaidi
TAEC yatoa mafunzo kwa wafanyakazi wa kiwanda cha Dangote

TAEC yatoa mafunzo kwa wafanyakazi wa kiwanda cha Dangote

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imetoa mafunzo ya msingi ya siku mbili ya matumizi salama ya vyanzo vya mionzi kwa wafanyakazi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo mkoani Mtwara kwa lengo la kuongeza uelewa juu ya vyanzo vya mionzi na usalama wake kwa...

soma zaidi

Hifadhi za nyaraka