Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imetoa elimu juu ya umuhimu wa upimaji wa mionzi katika zao la kahawa kwa wafanyabiashara wa zao hilo kwenye soko la mnada uliofanyika wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro jana tarehe 21/11/2019. Mnada huo umewashirikisha...
Blog
Sababu za upimaji wa Mionzi kwenye bidhaa
Serikali imewataka wafanyabiashara wa zao la Tumbuka nchini pamoja na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kukutana kwa pamoja kwa lengo la kuboresha biashara ya bidhaa ya tumbaku na kueleza kuwa ugomvi kati ya TAEC na wafanyabiashara wa zao la Tumbaku sasa haupo...
Warsha juu ya Majadiliano ya Pamoja ya Sheria Moja ya Udhibiti Katika Uchimbaji wa Madini ya Urani
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU) inaendesha warsha ya kuboresha shughuli za kisheria na uhakiki ili kuboresha uwezo uliopo katika kudhibiti madini ya urani. Warsha hii ya siku...
Warsha Juu ya Kinga na Udhibiti wa Vyanzo vya Mionzi Afrika
Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) inaendesha warsha inayohusisha wataalamu wa kitaifa wa kinga na udhibiti wa mionzi kutoka katika nchi 23 kutoka katika Bara la Afrika ambao ni...
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Ya nguvu za Atomiki Tanzania Prof. S.P.Busagala amefanya mkutano na Wafanya Biashara kanda ya Ziwa
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC )Prof. Lazaro Busagala aliyekaa katikati katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara wa kanda ya Ziwa mara tu baada ya kuwasilisha mada katika mkutano uliofanyika kati ya Tume ya Atomiki Tanzania(TAEC )na...
Waziri Mkuu Azindua Maabara ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amezindua Maabara ya kisasa ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania na kufungua mkutano wa Pili wa Pamoja wa Mtandao wa Vyombo vya Udhibiti wa Nyuklia kwa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa...
Mafunzo Kwa Wataalamu Wa Ulinzi Na Usalama Wa Vyanzo Vya Mionzi Nchi Sita Za Afrika
TAARIFA KWA UMMA 2 Aprili, 2019, Arusha Jumla ya wataalamu 25 wa Ulinzi na Usalama wa vyanzo vya mionzi kutoka katika nchi sita za Afrika wanashiriki katika mafunzo ya wiki mbili ya jinsi ya kuendesha mafunzo ya ulinzi na usalama wa vyanzo vya mionzi. Mafunzo hayo...
Mkutano wa Kimataifa Unaohusisha Waratibu wa Miradi ya Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia Kutoka Nchi za Kanda ya AFRIKA
PICHA: Washiriki wa Mkutano wa Kimataifa Unaohusisha Waratibu wa Miradi ya Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia Kutoka Nchi za Kanda ya AFRIKAMkurugenzi wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania, Profesa Lazaro Busagala akitoa neno la ukaribisho kwa wajumbe wa mkutano wa...
Mkurugenzi Mkuu TAEC amefanya mazungumzo na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania Profesa Lazaro Busagala akutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Zanzibar Seif Ali Iddi kwenye ofisi yake iliyopo Vuga mjini Unguja siku ya jumatatu tarehe 19/11/2018 alipofika kujitambulisha rasmi....
Taarifa kwa wadau na wateja kuhusu mfumo wa malipo – ‘GePG’
TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA TAARIFA KWA UMMA KUFANYA MALIPO KUPITIA MFUMO MPYA WA SERIKALI WA (GePG) Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inapenda kuwataarifu wadau na wateja wake wote kuwa kuanzia tarehe 4/4/2018 malipo yote yamekuwa yakifanywa kupitia...